Waamuzi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Alipoamka asubuhi na mapema katika siku ya tano ili aende, baba ya yule mwanamke kijana akasema: “Tafadhali, kula kitu fulani kwa ajili ya moyo wako.”+ Nao wakakawia mpaka mchana kutwa. Na wote wawili wakaendelea kula.
8 Alipoamka asubuhi na mapema katika siku ya tano ili aende, baba ya yule mwanamke kijana akasema: “Tafadhali, kula kitu fulani kwa ajili ya moyo wako.”+ Nao wakakawia mpaka mchana kutwa. Na wote wawili wakaendelea kula.