Waamuzi 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Alipoinua macho yake, akamwona yule mtu, yule msafiri, katika kiwanja cha watu wote cha jiji. Basi huyo mwanamume mzee akauliza: “Unaenda wapi, nawe unatoka wapi?”+
17 Alipoinua macho yake, akamwona yule mtu, yule msafiri, katika kiwanja cha watu wote cha jiji. Basi huyo mwanamume mzee akauliza: “Unaenda wapi, nawe unatoka wapi?”+