Waamuzi 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi kusanyiko likatuma huko wanaume kumi na mbili elfu walio mashujaa zaidi na kuwaamuru, wakisema: “Nendeni, mkawapige wakaaji wa Yabesh-gileadi kwa makali ya upanga, hata wanawake na watoto wadogo.+
10 Basi kusanyiko likatuma huko wanaume kumi na mbili elfu walio mashujaa zaidi na kuwaamuru, wakisema: “Nendeni, mkawapige wakaaji wa Yabesh-gileadi kwa makali ya upanga, hata wanawake na watoto wadogo.+