Ruthu 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha akasimama aokote masalio.+ Basi Boazi akawaamuru wanaume wake vijana, akisema: “Mwacheni aokote masalio katikati ya masuke ya nafaka yaliyokatwa pia, nanyi msimsumbue.+
15 Kisha akasimama aokote masalio.+ Basi Boazi akawaamuru wanaume wake vijana, akisema: “Mwacheni aokote masalio katikati ya masuke ya nafaka yaliyokatwa pia, nanyi msimsumbue.+