1 Samweli 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Eli akambariki+ Elkana na mke wake, akasema: “Yehova na akupe uzao kutoka kwa mke huyu badala ya kile kitu cha kuazima, ambacho Yehova aliazimwa.”+ Nao wakaenda kwao.
20 Na Eli akambariki+ Elkana na mke wake, akasema: “Yehova na akupe uzao kutoka kwa mke huyu badala ya kile kitu cha kuazima, ambacho Yehova aliazimwa.”+ Nao wakaenda kwao.