1 Samweli 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Basi wakamwambia Sauli, wakisema: “Tazama! Watu wanamtendea dhambi Yehova kwa kula pamoja na damu.”+ Naye akasema: “Mmetenda kwa hila. Kwanza kabisa, viringisheni kwangu jiwe kubwa.” 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:33 Mnara wa Mlinzi,4/15/1994, uku. 316/1/1986, uku. 31
33 Basi wakamwambia Sauli, wakisema: “Tazama! Watu wanamtendea dhambi Yehova kwa kula pamoja na damu.”+ Naye akasema: “Mmetenda kwa hila. Kwanza kabisa, viringisheni kwangu jiwe kubwa.”