1 Samweli 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa ikawa kwamba Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi kule Keila, alishuka na efodi+ mkononi mwake.
6 Sasa ikawa kwamba Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi kule Keila, alishuka na efodi+ mkononi mwake.