2 Samweli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na sasa chukueni hatua, kwa maana Yehova mwenyewe alimwambia Daudi, ‘Kwa mkono wa Daudi+ mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka katika mkono wa Wafilisti na kutoka katika mkono wa adui zao wote.’”
18 Na sasa chukueni hatua, kwa maana Yehova mwenyewe alimwambia Daudi, ‘Kwa mkono wa Daudi+ mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka katika mkono wa Wafilisti na kutoka katika mkono wa adui zao wote.’”