2 Samweli 3:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mikono yako haikufungwa,+Na miguu yako haikutiwa katika pingu za shaba.+Umeanguka kama yule anayeanguka mbele ya wana wa ukosefu wa uadilifu.”+Ndipo watu wote wakamlilia+ tena.
34 Mikono yako haikufungwa,+Na miguu yako haikutiwa katika pingu za shaba.+Umeanguka kama yule anayeanguka mbele ya wana wa ukosefu wa uadilifu.”+Ndipo watu wote wakamlilia+ tena.