2 Samweli 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo Wagibeoni wakamwambia: “Si jambo la fedha wala dhahabu+ kwetu kwa habari ya Sauli na nyumba yake, wala si juu yetu kumuua mtu yeyote katika Israeli.” Naye akasema: “Lolote mtakalosema nitawafanyia.”
4 Kwa hiyo Wagibeoni wakamwambia: “Si jambo la fedha wala dhahabu+ kwetu kwa habari ya Sauli na nyumba yake, wala si juu yetu kumuua mtu yeyote katika Israeli.” Naye akasema: “Lolote mtakalosema nitawafanyia.”