22 Lakini yule mwanamke mwingine akasema: “Hapana, lakini mwanangu ndiye aliye hai na mwana wako ndiye aliyekufa!” Wakati huo wote mwanamke huyu alikuwa akisema: “Hapana, lakini mwana wako ndiye aliyekufa na mwanangu ndiye aliye hai.” Nao wakaendelea kusema mbele ya mfalme.+