1 Wafalme 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akatengeneza makomamanga na mistari miwili kuzunguka kikundi kimoja cha kamba za nyavu ili kufunika yale makombe yaliyokuwa juu ya nguzo; naye akafanya vivyo hivyo kwa lile kombe lingine.+
18 Naye akatengeneza makomamanga na mistari miwili kuzunguka kikundi kimoja cha kamba za nyavu ili kufunika yale makombe yaliyokuwa juu ya nguzo; naye akafanya vivyo hivyo kwa lile kombe lingine.+