1 Wafalme 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Sulemani akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, naye hakumfuata Yehova kikamilifu kama Daudi baba yake.+
6 Na Sulemani akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, naye hakumfuata Yehova kikamilifu kama Daudi baba yake.+