1 Wafalme 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa Yehova akamwambia Sulemani: “Kwa sababu umefanya jambo hili wala hukushika agano langu na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme kutoka kwako, nami nitampa mtumishi wako.+
11 Sasa Yehova akamwambia Sulemani: “Kwa sababu umefanya jambo hili wala hukushika agano langu na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme kutoka kwako, nami nitampa mtumishi wako.+