1 Wafalme 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msiache hata mmoja wao aponyoke!” Ndipo wakawakamata mara moja, na Eliya akawashusha mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni,+ akawaua huko.+ 1 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:40 w08 1/1 20-21 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:40 Igeni, kur. 90-91 Mnara wa Mlinzi,1/1/2008, kur. 20-21
40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msiache hata mmoja wao aponyoke!” Ndipo wakawakamata mara moja, na Eliya akawashusha mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni,+ akawaua huko.+