1 Wafalme 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na ikawa kwamba mara tu Eliya alipoisikia, akafunika uso wake mara moja katika vazi lake rasmi,+ akatoka nje, akasimama mlangoni pa lile pango; na tazama! palikuwa na sauti kwa ajili yake, nayo ikamwambia: “Una kazi gani hapa, Eliya?”+
13 Na ikawa kwamba mara tu Eliya alipoisikia, akafunika uso wake mara moja katika vazi lake rasmi,+ akatoka nje, akasimama mlangoni pa lile pango; na tazama! palikuwa na sauti kwa ajili yake, nayo ikamwambia: “Una kazi gani hapa, Eliya?”+