2 Wafalme 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini nao walitoka wapi wakaja kwako?”+ Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali, kutoka Babiloni.”
14 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini nao walitoka wapi wakaja kwako?”+ Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali, kutoka Babiloni.”