2 Wafalme 4:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Baadaye wakapakua ili watu wale. Na ikawa kwamba, mara tu walipoula ule mchuzi, wakalia na kuanza kusema: “Kuna kifo ndani ya chungu hiki,+ Ee mtu wa Mungu wa kweli.”+ Nao hawakuweza kula.
40 Baadaye wakapakua ili watu wale. Na ikawa kwamba, mara tu walipoula ule mchuzi, wakalia na kuanza kusema: “Kuna kifo ndani ya chungu hiki,+ Ee mtu wa Mungu wa kweli.”+ Nao hawakuweza kula.