2 Wafalme 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo yule mtu wa Mungu wa kweli akasema: “Kimeanguka wapi?” Basi akamwonyesha mahali pale. Akakata kipande cha mti mara moja, akakitupa hapo, akafanya kile kichwa cha shoka kielee.+
6 Ndipo yule mtu wa Mungu wa kweli akasema: “Kimeanguka wapi?” Basi akamwonyesha mahali pale. Akakata kipande cha mti mara moja, akakitupa hapo, akafanya kile kichwa cha shoka kielee.+