2 Wafalme 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na ikawa kwamba mara walipofika Samaria, ndipo Elisha akasema: “Ee Yehova, fungua macho yao ili waone.”+ Yehova akafungua macho yao mara moja, nao wakaona; na, tazama, walikuwa katikati ya Samaria.
20 Na ikawa kwamba mara walipofika Samaria, ndipo Elisha akasema: “Ee Yehova, fungua macho yao ili waone.”+ Yehova akafungua macho yao mara moja, nao wakaona; na, tazama, walikuwa katikati ya Samaria.