1 Mambo ya Nyakati 9:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Na Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo yaliyokuwa majina yao: Azrikamu, Bokeru na Ishmaeli na Shearia na Obadia na Hanani. Hao ndio waliokuwa wana wa Aseli.+
44 Na Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo yaliyokuwa majina yao: Azrikamu, Bokeru na Ishmaeli na Shearia na Obadia na Hanani. Hao ndio waliokuwa wana wa Aseli.+