2 Mambo ya Nyakati 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo akawaweka watunza-malango+ kando ya malango+ ya nyumba ya Yehova ili yeyote aliye najisi katika jambo lolote asiingie.
19 Kwa hiyo akawaweka watunza-malango+ kando ya malango+ ya nyumba ya Yehova ili yeyote aliye najisi katika jambo lolote asiingie.