2 Mambo ya Nyakati 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehoyada akawa mzee na mwenye kushiba miaka+ naye akafa mwishowe, akiwa na umri wa miaka 130 wakati wa kifo chake.
15 Na Yehoyada akawa mzee na mwenye kushiba miaka+ naye akafa mwishowe, akiwa na umri wa miaka 130 wakati wa kifo chake.