11 ulizoamuru kupitia watumishi wako manabii, ukisema, ‘Nchi ambayo ninyi mnaingia kuimiliki ni nchi chafu kwa sababu ya uchafu wa watu wa nchi zile,+ kwa sababu ya machukizo yao+ ambayo wamejaza ndani yake kutoka mwisho mpaka mwisho+ kwa uchafu wao.+