Nehemia 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaingia, yeye pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza+ habari za Wayahudi,+ wale walioponyoka,+ mabaki ya wale mateka,+ na pia habari za Yerusalemu.
2 Ndipo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaingia, yeye pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza+ habari za Wayahudi,+ wale walioponyoka,+ mabaki ya wale mateka,+ na pia habari za Yerusalemu.