10 Nami nikaingia nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya mwana wa Mehetabeli, naye alikuwa amejifungia+ kabisa. Akasema: “Tukutane kwa mapatano+ katika nyumba ya Mungu wa kweli, ndani ya hekalu,+ halafu tufunge milango ya hekalu; kwa maana wanakuja kukuua, ndiyo, watakuja kukuua usiku.”+