Nehemia 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana wengi katika Yuda walikuwa wamejiapisha kwake, kwa vile alikuwa mwana-mkwe wa Shekania mwana wa Ara;+ naye Yehohanani mwana wake alikuwa amemchukua binti ya Meshulamu+ mwana wa Berekia.
18 Kwa maana wengi katika Yuda walikuwa wamejiapisha kwake, kwa vile alikuwa mwana-mkwe wa Shekania mwana wa Ara;+ naye Yehohanani mwana wake alikuwa amemchukua binti ya Meshulamu+ mwana wa Berekia.