38 Na kuhani, mwana wa Haruni, atakuwa pamoja na Walawi wakati Walawi wanapopokea sehemu ya kumi; Walawi nao inawapasa watoe sehemu ya kumi ya ile sehemu ya kumi kwa nyumba ya Mungu wetu+ katika majumba ya kulia chakula+ ya nyumba ya kuweka akiba ya vitu.