Esta 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo mfalme akasema: “Mordekai amefanyiwa heshima na jambo gani kubwa kwa ajili ya hayo?” Nao watumishi wa mfalme, wahudumu wake, wakasema: “Hajafanyiwa lolote.”+
3 Ndipo mfalme akasema: “Mordekai amefanyiwa heshima na jambo gani kubwa kwa ajili ya hayo?” Nao watumishi wa mfalme, wahudumu wake, wakasema: “Hajafanyiwa lolote.”+