Esta 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Wayahudi waliokuwa Shushani, wakajikusanya siku ya kumi na tatu+ na siku ya kumi na nne ya mwezi huo, kukawa na pumziko siku ya kumi na tano ya mwezi huo, nayo ikafanywa kuwa siku ya karamu na kushangilia.+
18 Nao Wayahudi waliokuwa Shushani, wakajikusanya siku ya kumi na tatu+ na siku ya kumi na nne ya mwezi huo, kukawa na pumziko siku ya kumi na tano ya mwezi huo, nayo ikafanywa kuwa siku ya karamu na kushangilia.+