Ayubu 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Yehova akamwambia Shetani: “Tazama! Kila kitu alicho nacho kimo mkononi mwako. Ila tu usinyooshe mkono wako juu yake mwenyewe!” Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova.+
12 Basi Yehova akamwambia Shetani: “Tazama! Kila kitu alicho nacho kimo mkononi mwako. Ila tu usinyooshe mkono wako juu yake mwenyewe!” Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova.+