Ayubu 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Walipoinua macho yao kutoka mbali hawakumtambua. Ndipo wakapaaza sauti zao, wakalia, wakararua+ kila mmoja koti lake lisilo na mikono na kurusha mavumbi kuelekea mbinguni juu ya vichwa vyao.+
12 Walipoinua macho yao kutoka mbali hawakumtambua. Ndipo wakapaaza sauti zao, wakalia, wakararua+ kila mmoja koti lake lisilo na mikono na kurusha mavumbi kuelekea mbinguni juu ya vichwa vyao.+