Ayubu 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa nikiwachagulia njia, nami nilikuwa nikikaa kama kichwa;Nami nilikaa kama mfalme katikati ya majeshi yake,+Kama mtu anayewafariji waombolezaji.+
25 Nilikuwa nikiwachagulia njia, nami nilikuwa nikikaa kama kichwa;Nami nilikaa kama mfalme katikati ya majeshi yake,+Kama mtu anayewafariji waombolezaji.+