Zaburi 59:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.
12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.