Zaburi 69:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+ Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 69:20 Amkeni!,10/22/1995, uku. 31
20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+