Methali 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanamume maskini na ambaye anawapunja+ watu wa hali ya chini ni kama mvua ambayo hufagilia mbali na kusababisha ukosefu wa chakula.
3 Mwanamume maskini na ambaye anawapunja+ watu wa hali ya chini ni kama mvua ambayo hufagilia mbali na kusababisha ukosefu wa chakula.