Mhubiri 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nzi waliokufa ndio hufanya mafuta ya mtengenezaji wa marashi+ yanuke, na kutoa povu. Ndivyo upumbavu kidogo unavyomfanya mtu mwenye thamani kwa sababu ya hekima na utukufu.+ Mhubiri Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:1 w06 11/1 16; g01 2/22 26-27 Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:1 Mnara wa Mlinzi,11/1/2006, uku. 16 Amkeni!,2/22/2001, kur. 26-27
10 Nzi waliokufa ndio hufanya mafuta ya mtengenezaji wa marashi+ yanuke, na kutoa povu. Ndivyo upumbavu kidogo unavyomfanya mtu mwenye thamani kwa sababu ya hekima na utukufu.+