9 Hata hivyo, weusi huo hautakuwa kama wakati nchi ilipokuwa na mkazo, kama wakati wa kwanza mtu alipoidharau nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali+ na wakati wa baadaye mtu alipofanya iheshimiwe+—njia iliyo kando ya bahari, katika eneo la Yordani, Galilaya ya mataifa.+