Isaya 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehova hakika ataukata ulimi wa bahari ya Misri,+ na kuutikisa mkono wake juu ya Mto+ katika mng’ao wa roho yake. Naye ataupiga katika mito yake saba, naye atawafanya watu watembee wakiwa wamevaa viatu vyao.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:15 ip-1 168 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:15 Unabii wa Isaya 1, uku. 168
15 Na Yehova hakika ataukata ulimi wa bahari ya Misri,+ na kuutikisa mkono wake juu ya Mto+ katika mng’ao wa roho yake. Naye ataupiga katika mito yake saba, naye atawafanya watu watembee wakiwa wamevaa viatu vyao.+