Isaya 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama vile mwanamke mwenye mimba anapokaribia kuzaa, anavyopata maumivu, hulia akiwa katika maumivu yake ya kuzaa, ndivyo tumekuwa kwa sababu yako, Ee Yehova.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 26:17 w01 3/1 20; ip-1 281-282 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 26:17 Mnara wa Mlinzi,3/1/2001, uku. 20 Unabii wa Isaya 1, kur. 281-282
17 Kama vile mwanamke mwenye mimba anapokaribia kuzaa, anavyopata maumivu, hulia akiwa katika maumivu yake ya kuzaa, ndivyo tumekuwa kwa sababu yako, Ee Yehova.+