15 Kwa sababu mmesema: “Tumefanya agano pamoja na Kifo;+ nasi tumetekeleza maono pamoja na Kaburi;+ lile furiko la ghafula linalofurika, ikiwa litapita katikati, halitatufikia, kwa maana tumefanya uwongo kuwa kimbilio+ letu nasi tumejificha katika jambo lisilo la kweli”;+