26 “Ni nani ambaye amesema jambo lolote tangu mwanzo, ili tujue, au kutoka nyakati za zamani, ili tuseme, ‘Yeye anasema sawa’?+ Kwa kweli hakuna yeyote anayesema. Kwa kweli hakuna yeyote anayemfanya mtu asikie. Kwa kweli hakuna yeyote anayeyasikia maneno yenu.”+