Isaya 51:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 51:7 ip-2 171-172 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 51:7 Unabii wa Isaya II, kur. 171-172
7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+