Yeremia 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Jinsi gani unaweza kusema, ‘Mimi sikujitia unajisi.+ Sikufuata Mabaali’?+ Ona njia yako katika bonde.+ Angalia lile ambalo umefanya. Ngamia-jike mchanga aliye mwepesi ambaye anakimbia huku na huku bila mwelekeo katika njia zake;
23 Jinsi gani unaweza kusema, ‘Mimi sikujitia unajisi.+ Sikufuata Mabaali’?+ Ona njia yako katika bonde.+ Angalia lile ambalo umefanya. Ngamia-jike mchanga aliye mwepesi ambaye anakimbia huku na huku bila mwelekeo katika njia zake;