Yeremia 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Lakini unasema, ‘Nimebaki bila hatia. Hakika hasira yake imeondoka juu yangu.’+ “Tazama, ninaingia katika ugomvi pamoja nawe kwa sababu unasema, ‘Sikutenda dhambi.’+
35 “Lakini unasema, ‘Nimebaki bila hatia. Hakika hasira yake imeondoka juu yangu.’+ “Tazama, ninaingia katika ugomvi pamoja nawe kwa sababu unasema, ‘Sikutenda dhambi.’+