Yeremia 2:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa sababu hiyo pia utaenda mikono yako ikiwa juu ya kichwa chako,+ kwa sababu Yehova amevikataa vitu vyako ambavyo una uhakika ndani yake, nawe hutapata mafanikio katika hivyo.”
37 Kwa sababu hiyo pia utaenda mikono yako ikiwa juu ya kichwa chako,+ kwa sababu Yehova amevikataa vitu vyako ambavyo una uhakika ndani yake, nawe hutapata mafanikio katika hivyo.”