Yeremia 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana niliwaonya mababu zenu siku ile niliyowatoa katika nchi ya Misri+ na mpaka leo hii, nikiamka mapema na kuwaonya, nikisema: “Tiini sauti yangu.”+
7 Kwa maana niliwaonya mababu zenu siku ile niliyowatoa katika nchi ya Misri+ na mpaka leo hii, nikiamka mapema na kuwaonya, nikisema: “Tiini sauti yangu.”+