15 “Mpendwa wangu ana kazi gani ndani ya nyumba yangu,+ hivi kwamba wengi wao wafanye jambo hili,+ hii mbinu ya uovu?+ Na kwa nyama takatifu, je, wao watafanya jambo hilo lipite kutoka juu yako,+ msiba wako utakapokuja? Je, wewe utafurahi wakati huo?+