Yeremia 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Mzeituni wenye majani mengi, wenye kupendeza kwa kuwa na matunda na kwa umbo,’ ndivyo ambavyo Yehova amekuita jina lako.+ Kwa sauti ya mngurumo mkubwa, amewasha moto juu yake, nao wamevunja matawi yake.+
16 ‘Mzeituni wenye majani mengi, wenye kupendeza kwa kuwa na matunda na kwa umbo,’ ndivyo ambavyo Yehova amekuita jina lako.+ Kwa sauti ya mngurumo mkubwa, amewasha moto juu yake, nao wamevunja matawi yake.+