Yeremia 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utasema nini wakati mtu anapokukazia fikira zake,+ wakati wewe umewafundisha kama rafiki zako kando yako tangu pale mwanzoni?+ Je, uchungu wa kuzaa hautakushika wewe, kama wa mwanamke anayezaa?+
21 Utasema nini wakati mtu anapokukazia fikira zake,+ wakati wewe umewafundisha kama rafiki zako kando yako tangu pale mwanzoni?+ Je, uchungu wa kuzaa hautakushika wewe, kama wa mwanamke anayezaa?+